Wakulima wa pamba wanaweza kupata nafuu ya upatikanaji wa pembejeo kwa wakati endapo mfumo wa ununuzi na usambazaji wa pamoja unaotumiwa na vyama vya ushirika vya korosho utaigwa katika zao hilo.

Back to Home
TANCCOOP yajifunza KCJE kupunguza changamoto ya pembejeo kwa wakulima
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
