Tanzania imeweka wazi azma ya kuwa kitovu cha matibabu, utaalamu na mafunzo ya saratani kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku ikiomba Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) itambuliwe kama kituo cha umahiri cha saratani.

Back to Home
Tanzania yajipanga kuwa kitovu tiba ya saratani Afrika
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
