Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari), Kituo cha Uyole (Tari-Uyole), imewataka wakulima nchini kupima afya ya udongo kabla ya kuanza uzalishaji, ikisema hatua hiyo itawawezesha kutumia mbolea kulingana na mahitaji ya mashamba yao na kuongeza tija katika kilimo.

Back to Home
Tari-Uyole yawauma sikio wakulima kuhusu afya ya udongo
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
