Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akianzisha operesheni ya kukamata malori yanayoegeshwa kwenye hifadhi za barabara, Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kimetishia kusitisha shughuli za usafirishaji endapo Serikali haitashughulikia changamoto zinazowakabili.

Back to Home
Tatoa yatishia kupaki malori
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
