Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo, amewataka vijana 328 walioajiriwa na wakala huo kudumisha nidhamu, weledi na uzalendo katika utekelezaji wa majukumu yao, huku akiwataka kujiepusha na rushwa.

Back to Home
TFS yawataka askari wapya kukataa rushwa
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
