Makubaliano ya miaka miwili kati ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) na Vodacom Tanzania yanatarajiwa kurahisisha huduma kwa wawekezaji, kupunguza gharama za miamala na kuongeza matumizi ya teknolojia katika maeneo ya viwanda na uwekezaji nchini.

Back to Home
Tiseza, Vodacom kubadili huduma za uwekezaji kidijitali
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
