Baada ya kula, baadhi ya watu hukimbilia kijiti cha meno (toothpick), kucha au kitu kingine chenye ncha kali kuondoa mabaki ya chakula yaliyokwama kati ya meno, bila kutambua kuwa mazoea hayo yanaweza kugeuka chanzo cha majeraha na matatizo ya afya ya kinywa.

Back to Home
Toothpick inavyoweza kuwa hatari kwa afya ya kinywa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
