Licha ya Serikali kuwekeza zaidi ya Sh3.5 bilioni katika ujenzi wa Shule ya Wasichana Mbeya Girls, uongozi wa shule hiyo umesema ukosefu wa uzio ni changamoto kubwa inayowatia hofu wanafunzi kuhusu usalama wao.

Back to Home
Ukosefu wa uzio sekondari Mbeya Girls watia hofu, serikali yachukua hatua
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
