Kauli ya ‘ushahidi hautoshi’ katika baadhi ya matukio ya ukatili dhidi ya watoto imedaiwa kuwakatisha tamaa watoto wanaojitokeza kutoa taarifa, hali inayotajwa kudhoofisha juhudi za kuwajengea ujasiri wa kuvunja ukimya na kuripoti matukio hayo.

Back to Home
‘Ushahidi hautoshi’ kikwazo mapambano dhidi ya ukatili wa watoto
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
