Uzalishaji wa nazi Mkoa wa Tanga umeshuka kwa kiwango kikubwa kutoka zaidi ya tani 100,000 kwa mwaka katika miaka ya 1980 na 1990 hadi takriban tani 15,000 sasa, hali inayohusishwa na magonjwa, kuzeeka kwa minazi na mwamko mdogo wa kupanda mipya.

Back to Home
Uzalishaji nazi Tanga washuka, Serikali yatangaza mkakati
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
