Vigogo wanane wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefikishwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma na kusomewa upya mashtaka 14 yanayohusu uhujumu uchumi, rushwa, utakatishaji fedha, matumizi mabaya ya madaraka na kughushi nyaraka.

Back to Home
Vigogo CWT wasomewa upya mashtaka 14 ya uhujumu uchumi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
