Makada watatu wa Chama cha Wananchi (CUF), akiwemo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara, Othuman Dunga, watafikishwa kwenye kamati ya maadili ya chama hicho ili kujibu tuhuma zinazowakabili.

Back to Home
Vigogo watatu CUF kufikishwa kamati ya maadili
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
