Vijana Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zinazojitokeza katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa kutumia teknolojia na ubunifu kujiajiri, kuzalisha ajira na kuchangia kufikia azma ya Tanzania kuwa uchumi wa dola trilioni moja ifikapo mwaka 2050.

Back to Home
Vijana watakiwa kutumia teknolojia, ubunifu kuzalisha ajira
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
