Wakati Kenya ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, mjadala kuhusu nani atakuwa mgombea mwenza wa Rais William Ruto umeanza kuibua mvutano ndani ya vyama vya United Democratic Alliance (UDA) na Orange Democratic Movement (ODM), huku viongozi kutoka pande zote wakimezea mate nafasi hiyo.

Back to Home
Vita mgombea mwenza wa Ruto kuelekea uchaguzi mkuu 2027
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
