Wadau wa hisabati nchini wametakiwa kutumia kwa ufanisi teknolojia ya Akili Unde (AI) katika kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa somo hilo, wakati Taifa likilenga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka asilimia 25 hadi 35.

Back to Home
Wadau wa hisabati kutumia teknolojia ya AI kuongeza ufaulu
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
