Wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi wametaka kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya taasisi za mafunzo, waajiri, sekta binafsi, viwanda na wadau wa maendeleo ili vijana wapate ujuzi unaoendana na mahitaji ya soko la ajira.

Back to Home
Wadau wataka mafunzo ufundi stadi yaunganishwe na mahitaji ya viwanda
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
