Baadhi ya wakulima na wafugaji wa Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi, wamelalamikia kile walichodai kuwa ni uvamizi wa makazi yao nyakati za usiku na mamlaka za ulinzi na usalama, wakisema mifugo yao imekuwa ikichukuliwa na kudaiwa fedha ili irejeshwe.

Back to Home
Wafugaji walalamikia operesheni za usiku, Serikali yajibu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
