Zaidi ya wagonjwa 500 wa saratani kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamefanyiwa uchunguzi wa awali na kupata huduma za matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH), huku mwitikio mdogo wa wananchi kujitokeza mapema ukitajwa kuwa miongoni mwa changamoto zinazoathiri udhibiti wa ugonjwa huo.

Back to Home
Wagonjwa 500 wapatiwa matibabu ya saratani Mbeya, mikakati yawekwa
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
