Baadhi ya wamiliki wa majengo jijini Dar es Salaam wamekuwa wakibadilisha mipango ya ujenzi baada ya kupata vibali, ikiwamo kuongeza idadi ya ghorofa, hali ambayo wataalamu wanaonya inaweza kuathiri usalama wa majengo na watumiaji.

Back to Home
Wajenzi wanavyokiuka vibali vya ujenzi, hatari kwa watumiaji
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
