Wananchi 92,000 katika Halmashauri ya Mji wa Njombe wanatarajia kunufaika na mradi wa maji wa miji 28 utakaokamilika Oktoba 2026 huku ukitarajiwa kumaliza adha ya huduma hiyo kwa wananchi wa Njombe mjini.

Back to Home
Wakazi 92,000 Njombe kunufaika na mradi wa maji wa miji 28
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
