Licha ya Serikali kuwekeza mabilioni ya shilingi katika ujenzi wa vivuko vya waenda kwa miguu jijini Dar es Salaam, baadhi ya wananchi bado wanavuka barabara katika maeneo yasiyoruhusiwa, hali inayohatarisha usalama na maisha yao.

Back to Home
Wakazi Dar wanavyokwepa vivuko vya barabara, polisi wafunguka
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
