Wakulima wa zao la ufuta wanaohudumiwa na Chama cha Ushirika wa Msingi cha Linali, Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, wamelazimika kununua lori lenye uwezo wa kubeba tani 32 za mazao ili kukabiliana na changamoto ya ubovu wa barabara ya Likawage, ambao umekuwa ukisababisha ucheleweshaji wa kuyafikisha maghala makuu, hasa kipindi cha mvua.

Back to Home
Wakulima wanunua lori kukwepa adha ya barabara mbovu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
