Baraza la Uongozi wa Mila la Kimaasai Taifa limepongeza marekebisho ya Sheria ya Uhifadhi na Wanyamapori yanayozuia mifugo kukamatwa na kutaifishwa kwa kuingia katika maeneo ya hifadhi, likiiomba Serikali kuendeleza maboresho ya sheria ili kupunguza migogoro ya matumizi ya ardhi na maliasili.

Back to Home
Wamasai wachekelea marekebisho sheria ya mifugo hifadhini
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
