Serikali imewataka wamiliki na waendeshaji wa miundombinu muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kukamilisha usajili wake kabla ya Desemba 19, 2026, ikieleza kuwa hatua hiyo ni kuilinda dhidi ya mashambulizi ya mtandao, hitilafu na majanga.

Back to Home
Wamiliki miundombinu muhimu ya Tehama watakiwa kuisajili
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
