Wanafunzi 1,257 kati ya 2,007 wa shule za msingi katika Kata ya Isanga, jijini Mbeya, hawapati chakula shuleni kutokana na baadhi ya wazazi na walezi kushindwa kuchangia huduma hiyo, hali inayodaiwa kuathiri ujifunzaji na taaluma.

Back to Home
Wanafunzi 1,257 Isanga hawapati chakula shuleni, wazazi wakumbushwa
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
