Baadhi ya wakazi wa mji wa Bariadi mkoani Simiyu wameiomba Serikali kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria, wakisema changamoto ya upatikanaji wa maji bado inawakabili na kuwa mbaya zaidi wakati wa kiangazi.

Back to Home
Wananchi Bariadi wataka kasi mradi wa maji Victoria
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
