“Twende wapi?” Ni swali linaloulizwa na wananchi na wachimbaji wadogo wa madini katika Kitongoji cha Mwaoga, Makongolosi, wilayani Chunya, wanaopinga kuhamishwa na kampuni ya Anglo De Beers kwa madai ya kuingia katika eneo lake la uchimbaji.

Back to Home
Wananchi wamgomea mwekezaji, Serikali yataka walipwe fidia
Mwananchi 39 minutes 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
