Wananchi wanaoishi kwenye maeneo hatarishi ikiwemo mikondo ya maji katika Wilaya ya Longido mkoani Arusha, wametakiwa kuhama mapema kabla ya kuanza kwa mvua za El-Nino zinazotarajiwa kunyesha hivi karibuni.

Back to Home
Wanaoishi kwenye mkondo wa maji Longido watakiwa kuhama
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
