Sakata la wananchi wa Mtaa wa Mazengo, Kata ya Zuzu jijini Dodoma kulalamika kuvunjiwa nyumba zao limechukua sura mpya baada ya uongozi wa kata hiyo kueleza kwamba watu wanaolalamika eneo hilo si mali yao.

Back to Home
Wanaolalamika kuvunjiwa nyumba wadaiwa si wamiliki halali
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
