Idadi ya wanasiasa kutoka eneo la Mlima Kenya waliomsaidia Rais William Ruto na chama chake cha United Democratic Alliance (UDA) kushinda katika eneo hilo mwaka 2022 wanamkimbia inaongezeka huku baadhi wakianza kuachana na chama tawala katika hatua inayotishia kubadili miungano ya kisiasa katika eneo hilo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027.

Back to Home
Wanasiasa Mlima Kenya ‘waikacha’ UDA ya Ruto, kuelekea uchaguzi 2027
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
