Waongoza watalii wanaofanya shughuli zao katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro wametakiwa kuwa na ujuzi pamoja na utaalamu wa kukabiliana na majanga ya dharura na uokozi ili kulinda usalama wa wageni wanaokuja nchini kwa ajili ya shughuli za utalii.

Back to Home
Waongoza watalii Mlima Kilimanjaro wafundwa uokozi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
