Washiriki wa Zanzibar International Marathon (ZIM) wamepata uhakika wa usalama baada ya Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) kuwakatia bima itakayowalinda dhidi ya majanga yanayoweza kutokea wakati wa mbio hizo Septemba 20, mwaka huu.

Back to Home
Washiriki Zanzibar International Marathon kupata utulivu wa akili wakikatiwa bima
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
