Wasichana wameitaka Serikali na wadau wa maendeleo kuhakikisha wanapatiwa fursa sawa za kupata vifaa, intaneti na ujuzi wa kidijitali ili wasiachwe nyuma katika uchumi wa Tanzania unaotarajiwa kutegemea zaidi teknolojia, sayansi na ubunifu ifikapo mwaka 2050.

Back to Home
Wasichana wataka nafasi uchumi wa kidijitali 2050
Mwananchi 34 minutes 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
