Wataalamu wa afya ya akili wameagizwa kuepuka kuwanyanyapaa watu wenye uraibu wa pombe na dawa za kulevya wanaofika hospitali na kwenye vituo vya kutolea huduma za matibabu, ili kuwawezesha kupata huduma kwa wakati na kupona.

Back to Home
Wataalamu wa afya ya akili waonywa unyanyapaa kwa waraibu
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
