Jumuiya ya Tathmini ya Elimu Afrika (AEAA) imewataka wataalamu na taasisi za mitihani kutumia akili unde (AI) kama nyenzo ya kuimarisha uamuzi wa kitaalamu, badala ya kuipa teknolojia hiyo mamlaka ya kufanya uamuzi unaoweza kuathiri hatima ya wanafunzi.

Back to Home
Wataalamu wa elimu waonya AI kuamua hatima ya wanafunzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
