Watu watano akiwemo mtoto mchanga wa miezi sita, wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Coaster kutumbukia bondeni katika eneo la Vuga, Wilaya ya Lushoto, Mkoa wa Tanga.

Back to Home
Watano wafariki dunia akiwamo mtoto mchanga, wanane wajeruhiwa Lushoto
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
