Watu watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa ndani ya mgodi wa dhahabu katika Kijiji cha Kitaifa, Wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro.

Back to Home
Watano wafariki, wanne waokolewa baada ya kufukiwa mgodini Gairo
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
