Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, limetangaza kuanza msako wa kubaini dawa zinazoingizwa nchini kinyemela bila kufuata sheria, huku likiwatafuta watengenezaji wa bidhaa hizo kwa ajili ya kuchukuliwa hatua.

Back to Home
Watenegenezaji, waingizaji dawa feki za asili kusakwa, NIMR kufungua kiwanda
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
