Zaidi ya watu 200,000 wameyakimbia makazi yao katika eneo la Kordofan nchini Sudan kutokana na kuongezeka kwa mapigano tangu mwishoni mwa mwaka jana huku mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yakilenga miundombinu muhimu ya maji na umeme katika mji mkubwa wa eneo hilo, El-Obeid.

Back to Home
Watu 200,000 Sudan wayahama makazi yao
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
