Watu watatu wamepoteza maisha katika matukio mawili tofauti mkoani Mwanza, likiwamo la wapenzi wawili kufariki baada ya ugomvi na mwanafunzi wa darasa la kwanza kufariki katika ajali ya barabarani.

Back to Home
Watu watatu wapoteza maisha Mwanza, akiwamo mwanafunzi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
