Watuhumiwa wawili kati ya watano wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mfanyabiashara wa huduma za kifedha, Vaileth Libaba (34), wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi wakati wakikabiliana na polisi jijini Mbeya.

Back to Home
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya mfanyabiashara Mbeya wafa kwa risasi
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
