Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwalimu wa Shule ya Sekondari Galula, Nisetasi Dimoso, akisema kifo hicho kinaonesha namna walimu wanavyojitolea kulinda mali za umma pamoja na kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Back to Home
Waziri Mkenda alaani mauaji ya mwalimu Dimoso
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
