Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe amewaelekeza wafanyabiashara 30 waliokuwa wakifanyabiashara katika Soko la Ndizi Mabibo (Mahakama ya Ndizi) kurejea sokoni, kwa udhamini wa maandishi kutoka ofisi za serikali za mitaa.

Back to Home
Waziri Shemdoe awaagiza wafanyabiashara 30 kurejea Soko la Ndizi Mabibo
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
