Wakati Baraza la Wawakilishi likihitimisha siku 47 za mjadala wa bajeti na kupitisha makadirio ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ya Sh8.5 trilioni, si takwimu za fedha ndizo zilizoacha alama kubwa kwa wananchi, bali mijadala miwili iliyogusa moja kwa moja masuala nyeti ya Muungano, ajira na afya.

Back to Home
Yaliyotikisa mjadala wa bajeti Zanzibar
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
Comments (0)
Want to join the discussion?
Sign in to post comments and engage with the community.
Be the first to comment!
