Gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya Muganza wilayani Chato limeanza tena kutoa huduma baada ya kutekelezwa agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Alexander Mnyeti, kuwa gari analotumia yeye, Toyota Land Cruiser V8, itumike kama ambulensi.

Back to Home
Agizo la Mnyeti latekelezwa, ambulensi Muganza yarudi kazini
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
