Ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza, limeongeza mahitaji ya huduma za utengamao na tiba rekebishi nchini, huku wataalamu wakitaka Serikali na wafadhili kuwekeza zaidi katika kinga na kuongeza wataalamu ili kuzuia madhara kabla hayajafikia hatua kubwa.

Back to Home
NCDs yachochea hitaji la tiba rekebishi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
