Mahakama ya Rufani imemwachia huru Emmanuel Kulwa, aliyekuwa amehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua babu na bibi yake, baada ya kubaini ushahidi wa upande wa mashtaka ulikuwa na utata.

Back to Home
Aliyehukumiwa kifo kwa kuwaua bibi, babu yake aachiliwa huru
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
