Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) imewataka wataalamu wa sekta ya ujenzi kuweka mbele usalama, uadilifu na thamani ya fedha katika kila mradi, ikisisitiza kuwa makosa ya kitaaluma yanaweza kuhatarisha maisha ya watu, mali na uwekezaji wa Taifa.

Back to Home
AQRB yatoa onyo kwa wataalamu wa ujenzi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
