Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Isack Amani ameonya kuwa kiburi na ukaidi kwa baadhi ya vijana nchini kinachowafanya kukataa kusikiliza na kufuata maelekezo vinaweza kuwaangamiza na kuangamiza Taifa huku akitaka jamii kuchukua hatua katika kuwajenga na kuwaelekeza.

Back to Home
Askofu Amani: Kiburi, ukaidi kwa vijana vinaliangamiza Taifa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
