Afrika Mashariki imeendelea kudhihirisha nafasi yake kama ukanda unaokua kwa kasi zaidi kiuchumi barani Afrika, Tanzania na Rwanda zikitarajiwa kuwa miongoni mwa nchi zitakazoongoza ukuaji huo mwaka 2026.

Back to Home
Tanzania, Rwanda zaongoza ukuaji uchumi Afrika Mashariki
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
